Sunday, July 21, 2013

MTOTO ANAYELALA KWA RATIBA KILA SIKU ANAFANYA VIZURI KATIKA TAALUMA NA MAISHA





Kulala muda  mmoja kila siku kunainamarisha na kuongeza uwezo wa mtoto  kufikiri vizuri.
Mtoto anayelala kila siku muda ule ule bila kuchelewa kunamfanya aweze kufikiri vizuri na awe na kumbukumbu nzuri. Pia anakuwa na uwezo wa kuweza kujenga hoja






 Research mbalimbali zinaonyesha kuwa mtoto mwenye muda maalumu wa kulala anakuwa na uwezo wa kufanya vizuri kitaaluma. Pia research iliyofanywa na amanda sacker, professor in the department of epidemiology and public health at university college london. Inaonesha kuwa kama mtoto anapendelea kwenda  kulala hata kwa kuchelewa kidogo ila inafanywa kila siku bado itakuwa ni vizuri kwa afyayake.

 

No comments:

Post a Comment