lakini kuna watu ambao wanajikubali kiasi kwamba wanaharibu hadi kukubalika na wengine kwa sababu wanazidi kujikubali kupita kiasi kama tunavyojua kuwa kila jambo likizadi ni sumu.
Hukatazwi kujikubali ila kuwa na kiasi cha kujikubali ili uache nafasi ya wengine kujikubali
No comments:
Post a Comment