alipokuwa hosptalini
Mamia ya watanzania walijitokeza uwanja wa ndege wa kimataifa wa J.k. Nyerere kumpokea Dr.ulimboka wakiwa wameshikiria mabango yaliyoandikwa ''Ulimboka ni shujaa'' ''karibu tena ulimboka''
Katibu wa chama cha madaktari Edwin Chitage amesema ''wataendelea kupigania haki ili selikali iimarishe huduma za afya''
Tatizo sisi watz tunahsi tunaamani wakati watu wanateswa na kuumizwa.mwisho wa siku hamna kinachofanyika
ReplyDelete